Marko 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yohana alikuwa akivaa mavazi yaliyofumwa kwa manyoya ya ngamia na alijifunga mshipi wa ngozi kiunoni,+ na alikula nzige na asali ya mwituni.+
6 Yohana alikuwa akivaa mavazi yaliyofumwa kwa manyoya ya ngamia na alijifunga mshipi wa ngozi kiunoni,+ na alikula nzige na asali ya mwituni.+