Marko 10:39, 40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakamwambia: “Tunaweza.” Ndipo Yesu akawaambia: “Kikombe ninachokunywa mtakunywa, na ubatizo ninaobatizwa mtabatizwa.+ 40 Hata hivyo, kuketi upande wangu wa kuume au wa kushoto sina haki ya kutoa, bali wataketi wale ambao wametayarishiwa.”
39 Wakamwambia: “Tunaweza.” Ndipo Yesu akawaambia: “Kikombe ninachokunywa mtakunywa, na ubatizo ninaobatizwa mtabatizwa.+ 40 Hata hivyo, kuketi upande wangu wa kuume au wa kushoto sina haki ya kutoa, bali wataketi wale ambao wametayarishiwa.”