Marko 11:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini walipokuwa wakipita asubuhi na mapema, wakaona ule mtini ukiwa umenyauka kuanzia kwenye mizizi.+ 21 Petro, akaukumbuka na kumwambia: “Rabi, ona! ule mtini ulioulaani umenyauka.”+
20 Lakini walipokuwa wakipita asubuhi na mapema, wakaona ule mtini ukiwa umenyauka kuanzia kwenye mizizi.+ 21 Petro, akaukumbuka na kumwambia: “Rabi, ona! ule mtini ulioulaani umenyauka.”+