Luka 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yesu akamwambia: “Mtu fulani alikuwa akiandaa mlo mkubwa wa jioni,+ naye akawaalika watu wengi. Ufunuo 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye ananiambia, “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwanakondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”
9 Naye ananiambia, “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwanakondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”