Luka 14:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Saa ya mlo wa jioni ilipofika, akamtuma mtumwa wake awaambie walioalikwa, ‘Njooni, kwa sababu kila kitu kiko tayari.’ 18 Lakini wote wakaanza kutoa visingizio.+ Mmoja akasema, ‘Nilinunua shamba, ninahitaji kwenda kuliona; tafadhali, niwie radhi.’
17 Saa ya mlo wa jioni ilipofika, akamtuma mtumwa wake awaambie walioalikwa, ‘Njooni, kwa sababu kila kitu kiko tayari.’ 18 Lakini wote wakaanza kutoa visingizio.+ Mmoja akasema, ‘Nilinunua shamba, ninahitaji kwenda kuliona; tafadhali, niwie radhi.’