Luka 14:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini wote wakaanza kutoa visingizio.+ Mmoja akasema, ‘Nilinunua shamba, ninahitaji kwenda kuliona; tafadhali, niwie radhi.’ 19 Mwingine akasema, ‘Nimenunua jozi tano za ng’ombe,* ninaenda kuwakagua; tafadhali, niwie radhi.’+
18 Lakini wote wakaanza kutoa visingizio.+ Mmoja akasema, ‘Nilinunua shamba, ninahitaji kwenda kuliona; tafadhali, niwie radhi.’ 19 Mwingine akasema, ‘Nimenunua jozi tano za ng’ombe,* ninaenda kuwakagua; tafadhali, niwie radhi.’+