Matendo 4:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hao wawili walipokuwa wakizungumza na watu, makuhani, kapteni wa hekalu, na Masadukayo+ wakawajia. 2 Walikuwa wameudhika kwa sababu mitume walikuwa wakiwafundisha watu na kutangaza waziwazi kwamba Yesu alikuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu.*+ Matendo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Masadukayo husema hakuna ufufuo wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyakubali* hayo yote.+
4 Hao wawili walipokuwa wakizungumza na watu, makuhani, kapteni wa hekalu, na Masadukayo+ wakawajia. 2 Walikuwa wameudhika kwa sababu mitume walikuwa wakiwafundisha watu na kutangaza waziwazi kwamba Yesu alikuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu.*+
8 Kwa maana Masadukayo husema hakuna ufufuo wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyakubali* hayo yote.+