Mathayo 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi unapotoa zawadi za rehema,* usipige tarumbeta mbele yako kama wanavyofanya wanafiki katika masinagogi na barabarani, ili wasifiwe na watu. Kwa kweli ninawaambia, wanapata thawabu yao kikamili. Luka 12:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Wanafiki, mnajua jinsi ya kuchunguza dunia na anga, lakini kwa nini hamjui jinsi ya kuchunguza kinachotendeka wakati huu?+
2 Basi unapotoa zawadi za rehema,* usipige tarumbeta mbele yako kama wanavyofanya wanafiki katika masinagogi na barabarani, ili wasifiwe na watu. Kwa kweli ninawaambia, wanapata thawabu yao kikamili.
56 Wanafiki, mnajua jinsi ya kuchunguza dunia na anga, lakini kwa nini hamjui jinsi ya kuchunguza kinachotendeka wakati huu?+