Luka 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi akawaambia: “Mnajitangaza kuwa waadilifu mbele ya wanadamu,+ lakini Mungu anaijua mioyo yenu.+ Kwa maana kitu kinachoheshimiwa sana na wanadamu kinamchukiza Mungu.+
15 Basi akawaambia: “Mnajitangaza kuwa waadilifu mbele ya wanadamu,+ lakini Mungu anaijua mioyo yenu.+ Kwa maana kitu kinachoheshimiwa sana na wanadamu kinamchukiza Mungu.+