34 Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii na aliyewapiga mawe wale waliotumwa kwake+—nilijaribu mara ngapi kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga wake chini ya mabawa yake! Lakini hamkutaka.+
41 Alipokaribia jiji la Yerusalemu, akalitazama na kulililia,+42 akisema: “Kama wewe, naam wewe, ungefahamu leo mambo yanayokuletea amani—lakini sasa yamefichwa kutoka machoni pako.+