Luka 17:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Basi wakamuuliza: “Wapi, Bwana?” Akawajibu: “Mahali palipo na mzoga, hapo ndipo tai watakapokusanyika.”+
37 Basi wakamuuliza: “Wapi, Bwana?” Akawajibu: “Mahali palipo na mzoga, hapo ndipo tai watakapokusanyika.”+