Luka 12:39, 40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Lakini jueni jambo hili, ikiwa mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi angekuja, hangeruhusu nyumba yake ivunjwe.+ 40 Ninyi pia, endeleeni kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa binadamu atakuja saa msiyotazamia.”+
39 Lakini jueni jambo hili, ikiwa mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi angekuja, hangeruhusu nyumba yake ivunjwe.+ 40 Ninyi pia, endeleeni kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa binadamu atakuja saa msiyotazamia.”+