1 Wathesalonike 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine wanavyofanya,+ bali tukae macho+ na kutunza akili zetu.+ 1 Petro 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunzeni akili zenu, iweni waangalifu!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.*+
6 Basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine wanavyofanya,+ bali tukae macho+ na kutunza akili zetu.+
8 Tunzeni akili zenu, iweni waangalifu!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.*+