Mathayo 24:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Kwa hiyo, endeleeni kukesha kwa sababu hamjui Bwana wenu atakuja siku gani.+ Mathayo 24:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 bwana wa mtumwa huyo atakuja siku asiyotazamia na katika saa asiyoijua,+ Marko 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Endeleeni kutazama, endeleeni kukaa macho,+ kwa maana hamjui wakati uliowekwa ni lini.+