Mathayo 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Kwa hiyo, endeleeni kukesha+ kwa sababu hamjui ile siku wala saa.+ Marko 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Endeleeni kutazama, endeleeni kukaa macho,+ kwa maana hamjui wakati uliowekwa ni lini.+ Luka 21:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Basi, endeleeni kukesha+ sikuzote mkiomba dua+ ili mfanikiwe kuponyoka mambo yote hayo ambayo lazima yatukie, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+
36 Basi, endeleeni kukesha+ sikuzote mkiomba dua+ ili mfanikiwe kuponyoka mambo yote hayo ambayo lazima yatukie, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+