Mathayo 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Kwa hiyo, endeleeni kukesha+ kwa sababu hamjui ile siku wala saa.+ Marko 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Endeleeni kutazama, endeleeni kukaa macho,+ kwa maana hamjui wakati uliowekwa ni lini.+ 1 Wakorintho 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kaeni macho,+ simameni imara katika imani,+ endeleeni kuwa kama wanaume,*+ iweni na nguvu.+ 1 Petro 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunzeni akili zenu, iweni waangalifu!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.*+
8 Tunzeni akili zenu, iweni waangalifu!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.*+