Luka 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Mwishowe aliporudi baada ya kupokea mamlaka ya kifalme,* aliwaita watumwa aliokuwa amewapa pesa,* ili ajue faida waliyopata kwa kufanya biashara.+
15 “Mwishowe aliporudi baada ya kupokea mamlaka ya kifalme,* aliwaita watumwa aliokuwa amewapa pesa,* ili ajue faida waliyopata kwa kufanya biashara.+