Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 19:20-23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini mwingine akaja, akasema, ‘Bwana, hii hapa mina yako, niliifunga kwa kitambaa nikaificha. 21 Nilikuogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali; wewe huchukua kile ambacho hukuweka akiba, na kuvuna kile ambacho hukupanda.’+ 22 Akamwambia, ‘Ninakuhukumu kwa maneno yako mwenyewe, mtumwa mwovu. Ulijua, sivyo, kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua kile ambacho sikuweka akiba na kuvuna kile ambacho sikupanda?+ 23 Basi kwa nini hukuziweka pesa* zangu benki? Kisha baada ya kurudi, ningezichukua zikiwa na faida.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki