24 “Ndipo akawaambia wale waliokuwa wamesimama hapo, ‘Chukueni mina hiyo mkampe yule aliye na mina kumi.’+ 25 Lakini wakamwambia, ‘Bwana, tayari huyo ana mina kumi!’— 26 ‘Ninawaambia, kila mtu aliye na kitu, ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+