Mathayo 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo mama ya wana wa Zebedayo+ akamjia akiwa na wanawe, akamsujudia* na kumwomba jambo fulani.+ Yohana 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hata hivyo, kando ya mti wa mateso* wa Yesu, walikuwa wamesimama mama yake+ na dada ya mama yake; Maria mke wa Klopa na Maria Magdalene.+
25 Hata hivyo, kando ya mti wa mateso* wa Yesu, walikuwa wamesimama mama yake+ na dada ya mama yake; Maria mke wa Klopa na Maria Magdalene.+