40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa vya kitani pamoja na manukato,+ kulingana na desturi ya mazishi ya Wayahudi. 41 Ilitukia kwamba kulikuwa na bustani mahali alipouawa, na katika bustani hiyo kulikuwa na kaburi+ jipya ambamo hakuna mtu alikuwa amewahi kulazwa.