Mathayo 28:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya wakuu wa makuhani na wazee kukutana na kushauriana, wakawapa wale wanajeshi kiasi kikubwa cha fedha 13 wakawaambia: “Semeni, ‘Wanafunzi wake walikuja usiku wakamwiba tulipokuwa tumelala usingizi.’+
12 Baada ya wakuu wa makuhani na wazee kukutana na kushauriana, wakawapa wale wanajeshi kiasi kikubwa cha fedha 13 wakawaambia: “Semeni, ‘Wanafunzi wake walikuja usiku wakamwiba tulipokuwa tumelala usingizi.’+