Mathayo 26:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini baada ya kufufuliwa nitawatangulia kuingia Galilaya.”+ Mathayo 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, wale wanafunzi 11 wakaenda Galilaya+ kwenye mlima ambao Yesu alikuwa amepanga kukutana nao.+ Marko 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini baada ya kufufuliwa, nitawatangulia kuingia Galilaya.”+
16 Hata hivyo, wale wanafunzi 11 wakaenda Galilaya+ kwenye mlima ambao Yesu alikuwa amepanga kukutana nao.+