20 Na mbegu iliyopandwa kwenye miamba, ni yule anayelisikia neno na kulipokea mara moja kwa shangwe.+ 21 Lakini hana mizizi ndani yake bali anaendelea kwa wakati fulani, hata hivyo dhiki au mateso yakitokea kwa sababu ya lile neno mara moja anakwazika.