Luka 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Siku moja alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa sheria kutoka kila kijiji cha Galilaya na Yudea na kutoka Yerusalemu walikuwa wameketi hapo; na Yehova* alikuwa amempa nguvu za kuponya.+ Luka 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Umati wote ulikuwa ukijaribu kumgusa, kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka+ na kuwaponya wote.
17 Siku moja alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa sheria kutoka kila kijiji cha Galilaya na Yudea na kutoka Yerusalemu walikuwa wameketi hapo; na Yehova* alikuwa amempa nguvu za kuponya.+