Luka 8:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yesu aliposikia hilo akamwambia: “Usiogope, uwe tu na imani, naye ataokolewa.”+ Yohana 11:39, 40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Yesu akasema: “Liondoeni jiwe.” Martha, dada ya yule aliyekufa akamwambia: “Bwana, kufikia sasa lazima awe ananuka, kwa maana ni siku nne.” 40 Yesu akamwambia: “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”+
39 Yesu akasema: “Liondoeni jiwe.” Martha, dada ya yule aliyekufa akamwambia: “Bwana, kufikia sasa lazima awe ananuka, kwa maana ni siku nne.” 40 Yesu akamwambia: “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”+