Mathayo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Siku sita baadaye, Yesu alienda pamoja na Petro, Yakobo na Yohana ndugu yake kwenye mlima mrefu wakiwa peke yao.+ Mathayo 26:36, 37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali panapoitwa Gethsemane,+ akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa, mimi naenda pale kusali.”+ 37 Akamchukua Petro na wale wana wawili wa Zebedayo, naye akaanza kuhuzunika na kutaabika sana.+
17 Siku sita baadaye, Yesu alienda pamoja na Petro, Yakobo na Yohana ndugu yake kwenye mlima mrefu wakiwa peke yao.+
36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali panapoitwa Gethsemane,+ akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa, mimi naenda pale kusali.”+ 37 Akamchukua Petro na wale wana wawili wa Zebedayo, naye akaanza kuhuzunika na kutaabika sana.+