Luka 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo wale 70 wakarudi wakiwa na shangwe, wakisema: “Bwana, hata tunawatiisha roho waovu kwa kutumia jina lako.”+
17 Ndipo wale 70 wakarudi wakiwa na shangwe, wakisema: “Bwana, hata tunawatiisha roho waovu kwa kutumia jina lako.”+