Yohana 6:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya hapo Yesu akavuka Bahari ya Galilaya, au Tiberia.+ 2 Na umati mkubwa sana ulikuwa ukimfuata,+ kwa sababu walikuwa wakiona ishara za miujiza alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa.+
6 Baada ya hapo Yesu akavuka Bahari ya Galilaya, au Tiberia.+ 2 Na umati mkubwa sana ulikuwa ukimfuata,+ kwa sababu walikuwa wakiona ishara za miujiza alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa.+