Mathayo 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu hachafuliwi na kile kinachoingia kinywani mwake, bali huchafuliwa na kile kinachotoka kinywani mwake.”+ Tito 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi;+ lakini kwa watu waliochafuliwa na wasio na imani hakuna chochote kilicho safi, kwa kuwa akili na dhamiri zao zimechafuliwa.+
11 Mtu hachafuliwi na kile kinachoingia kinywani mwake, bali huchafuliwa na kile kinachotoka kinywani mwake.”+
15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi;+ lakini kwa watu waliochafuliwa na wasio na imani hakuna chochote kilicho safi, kwa kuwa akili na dhamiri zao zimechafuliwa.+