Mathayo 9:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Walipokuwa wakiondoka, tazama! watu wakamletea bubu aliyekuwa na roho mwovu;+ 33 baada ya yule roho mwovu kufukuzwa, yule bubu akaongea.+ Basi, umati ukashangaa na kusema: “Jambo kama hili halijawahi kuonekana katika Israeli.”+ Luka 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baadaye alimfukuza roho mwovu aliye bubu.+ Roho huyo mwovu alipotoka, yule bubu akazungumza. Nao umati ukashangaa.+
32 Walipokuwa wakiondoka, tazama! watu wakamletea bubu aliyekuwa na roho mwovu;+ 33 baada ya yule roho mwovu kufukuzwa, yule bubu akaongea.+ Basi, umati ukashangaa na kusema: “Jambo kama hili halijawahi kuonekana katika Israeli.”+
14 Baadaye alimfukuza roho mwovu aliye bubu.+ Roho huyo mwovu alipotoka, yule bubu akazungumza. Nao umati ukashangaa.+