Mathayo 19:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akaondoka Galilaya na kwenda kwenye mipaka ya* Yudea ng’ambo ya Yordani.+ 2 Pia, umati mkubwa ukamfuata, naye akawaponya huko.
19 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akaondoka Galilaya na kwenda kwenye mipaka ya* Yudea ng’ambo ya Yordani.+ 2 Pia, umati mkubwa ukamfuata, naye akawaponya huko.