Mathayo 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu,* nenda ukauze mali zako na uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni;+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+
21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu,* nenda ukauze mali zako na uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni;+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+