Mathayo 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho na wa mwisho watakuwa wa kwanza.+ Mathayo 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo, wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.”+ Luka 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Tazama! kuna wale wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na kuna wale wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.”+
30 Tazama! kuna wale wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na kuna wale wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.”+