20 Ndipo mama ya wana wa Zebedayo+ akamjia akiwa na wanawe, akamsujudia na kumwomba jambo fulani.+ 21 Yesu akamuuliza: “Unataka nini?” Akamjibu: “Toa agizo kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja upande wako wa kuume na mwingine upande wako wa kushoto, katika Ufalme wako.”+