Mathayo 22:34-36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu amewanyamazisha Masadukayo, wakaja wakiwa kikundi kimoja. 35 Na mmoja wao aliyekuwa na ujuzi wa Sheria, akamuuliza swali ili kumjaribu: 36 “Mwalimu, ni amri gani iliyo kuu zaidi katika Sheria?”+
34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu amewanyamazisha Masadukayo, wakaja wakiwa kikundi kimoja. 35 Na mmoja wao aliyekuwa na ujuzi wa Sheria, akamuuliza swali ili kumjaribu: 36 “Mwalimu, ni amri gani iliyo kuu zaidi katika Sheria?”+