Mathayo 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jihadharini na watu, kwa maana watawapeleka mahakamani+ na kuwapiga mijeledi+ katika masinagogi+ yao. Yohana 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watu watawafukuza katika masinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja ambayo kila mtu atakayewaua+ atafikiri kwamba amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.
17 Jihadharini na watu, kwa maana watawapeleka mahakamani+ na kuwapiga mijeledi+ katika masinagogi+ yao.
2 Watu watawafukuza katika masinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja ambayo kila mtu atakayewaua+ atafikiri kwamba amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.