Mathayo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu,+ lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Mathayo 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Luka 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkivumilia, mtauokoa uhai wenu.*+ Ufunuo 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope mateso yatakayokupata hivi karibuni.+ Tazama! Ibilisi ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili, nanyi mtapata dhiki kwa siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo, nami nitakupa taji la uzima.+
22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu,+ lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+
10 Usiogope mateso yatakayokupata hivi karibuni.+ Tazama! Ibilisi ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili, nanyi mtapata dhiki kwa siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo, nami nitakupa taji la uzima.+