30 Ndipo ishara ya Mwana wa binadamu itakapoonekana mbinguni, na makabila yote ya dunia yatajipigapiga kwa huzuni,+ nayo yatamwona Mwana wa binadamu+ akija juu ya mawingu ya mbinguni akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+
7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona, na wale waliomchoma;* na makabila yote ya dunia yatajipigapiga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.