Habakuki 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana maono hayo bado yatatimia kwa wakati wake uliowekwa,Nayo yanasonga haraka kuelekea mwisho* wake, nayo hayatasema uwongo. Hata yakikawia,* endelea kuyatarajia!*+ Kwa maana hakika yatatimia. Hayatachelewa!
3 Kwa maana maono hayo bado yatatimia kwa wakati wake uliowekwa,Nayo yanasonga haraka kuelekea mwisho* wake, nayo hayatasema uwongo. Hata yakikawia,* endelea kuyatarajia!*+ Kwa maana hakika yatatimia. Hayatachelewa!