Isaya 53:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika. Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+Na dhambi zao atazibeba.+
11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika. Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+Na dhambi zao atazibeba.+