31 “Simoni, Simoni, tazama! Shetani anataka kuwapata ninyi nyote ili awapepete kama ngano.+ 32 Lakini nimeomba dua kwa ajili yako ili imani yako isidhoofike;+ nawe utakaporudi, watie nguvu ndugu zako.”+ 33 Petro akasema: “Bwana, niko tayari kwenda nawe gerezani na hata kufa nawe.”+