Luka 19:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Akaendelea kufundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, waandishi na viongozi wa watu walikuwa wakitaka kumuua;+ Yohana 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yesu akamjibu: “Nimezungumza na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na hekaluni,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika, nami sikusema jambo lolote kwa siri.
47 Akaendelea kufundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, waandishi na viongozi wa watu walikuwa wakitaka kumuua;+
20 Yesu akamjibu: “Nimezungumza na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na hekaluni,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika, nami sikusema jambo lolote kwa siri.