Yohana 19:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 akaingia tena ndani ya makao ya gavana akamuuliza Yesu: “Umetoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu.+ 10 Basi Pilato akamuuliza: “Unakataa kuzungumza nami? Je, hujui kwamba nina mamlaka ya kukufungua na mamlaka ya kukuua?”*
9 akaingia tena ndani ya makao ya gavana akamuuliza Yesu: “Umetoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu.+ 10 Basi Pilato akamuuliza: “Unakataa kuzungumza nami? Je, hujui kwamba nina mamlaka ya kukufungua na mamlaka ya kukuua?”*