Mathayo 27:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Lakini yule ofisa wa jeshi na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na mambo yaliyokuwa yakitokea, wakaogopa sana na kusema: “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+ Luka 23:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Alipoona mambo yaliyotokea, ofisa wa jeshi akaanza kumtukuza Mungu, akisema: “Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwadilifu.”+
54 Lakini yule ofisa wa jeshi na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na mambo yaliyokuwa yakitokea, wakaogopa sana na kusema: “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+
47 Alipoona mambo yaliyotokea, ofisa wa jeshi akaanza kumtukuza Mungu, akisema: “Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwadilifu.”+