-
Luka 14:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Siku moja ya Sabato, Yesu alienda kula chakula katika nyumba ya kiongozi mmoja wa Mafarisayo, nao walikuwa wakimtazama sana. 2 Tazama! mbele yake kulikuwa na mtu mwenye ugonjwa wa kuvimba mwili.* 3 Basi Yesu akawauliza wale wenye ujuzi wa Sheria na Mafarisayo: “Je, ni halali au si halali kumponya mtu siku ya Sabato?”+
-