Yohana 12:39, 40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wao hawakuamini kwa sababu pia Isaya alisema: 40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu, ili wasione kwa macho yao na kuelewa kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+
39 Wao hawakuamini kwa sababu pia Isaya alisema: 40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu, ili wasione kwa macho yao na kuelewa kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+