Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mara moja wakaziacha nyavu zao na kumfuata.+

  • Mathayo 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+

  • Mathayo 19:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo Petro akamwambia: “Tazama! Tumeacha kila kitu na kukufuata; basi tutapata nini?”+

  • Marko 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na bila kukawia akawaita. Nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, kisha wakamfuata Yesu.

  • Luka 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Lakini Petro akamwambia: “Tazama! Tumeacha vitu vyetu na kukufuata.”+

  • Wafilipi 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Isitoshe, kwa kweli ninaviona vitu vyote kuwa hasara kwa sababu ya thamani bora zaidi ya kumjua Kristo Yesu Bwana wangu. Kwa ajili yake nimekubali hasara ya vitu vyote nami ninaviona kuwa takataka nyingi, ili niweze kumpata Kristo

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki