Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na habari kumhusu zikaenea katika Siria yote, nao wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na walioteseka,+ wenye roho waovu+ na wenye kifafa+ na watu waliopooza, naye akawaponya. 25 Kwa hiyo, umati mkubwa ukamfuata kutoka Galilaya, Dekapoli,* Yerusalemu, Yudea, na ng’ambo ya Yordani.

  • Marko 3:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini Yesu na wanafunzi wake wakaelekea baharini, na umati mkubwa kutoka Galilaya na Yudea ukamfuata.+ 8 Hata kutoka Yerusalemu, Idumea, ng’ambo ya Yordani, na maeneo ya Tiro na Sidoni, umati mkubwa ukamjia uliposikia kuhusu mambo mengi aliyokuwa akifanya.

  • Yohana 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na umati mkubwa sana ulikuwa ukimfuata,+ kwa sababu walikuwa wakiona ishara za miujiza alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki