24 Na habari kumhusu zikaenea katika Siria yote, nao wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na walioteseka,+ wenye roho waovu+ na wenye kifafa+ na watu waliopooza, naye akawaponya. 25 Kwa hiyo, umati mkubwa ukamfuata kutoka Galilaya, Dekapoli, Yerusalemu, Yudea, na ng’ambo ya Yordani.