Mathayo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama ya Yesu alichumbiwa na Yosefu, lakini kabla hawajafunga ndoa akapata mimba kupitia roho takatifu.*+
18 Basi kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama ya Yesu alichumbiwa na Yosefu, lakini kabla hawajafunga ndoa akapata mimba kupitia roho takatifu.*+